Thursday, 22 September 2011

Muchatha Akiwa Statehouse....hehehe

Kitambo kwa wale walikutaga Mutukufu baba mwoi akiwa baba (as my mum would call him), walijua kitu moja muthuri sana na huyu baba especially akipitia karibu na chule yenu. Arikuwa anathimamicha mangari sake, anatokerecea hapa juu kwa kadiricha ya roof, anainua fimbo yake anaulisa..”nani hedimazta ya hava?” headmaster anatokesea mbere kama ako karibu kuhara, ni uoga. Kwanja kama ni mwanaume na ako na kitabi, warikuwa wanaogopa saidi asiuliswe..”mutu ago na gitambi kama hii anaonesha muvano gani gwa watoto wa nyayo?..kuanzia leo, napitisha kama mutu igo na tumbo kama hii afutwe gasi mara moja”. Rakini sana sana, wakati baba ako na pesa na mood poa especially kama bonus ya majani shai imepeanwo, headmaster alikuwa anatokesea anasema.”ndio mimi hapa baba”. Baba nayeye akiona vile mwanaume musima ametokesea kama amenyenyekea, anaseka anasema..”naona ugame umewazidia sana. Na gwasababu baba anapenda watoto wage, nipe hiyo bahasha havo, nipatie watoto wangu wagule nyama leo”. Hapo hapo mwalimu wa games anaanza kutupigicha makofi mbaka mikono inatoa iroruha (blisters): hep! hep! Moja…asandi..pa! pa! pa! baba ..pa! pa! pa!..kwa kuona pa! pa! pa! watoto wako.. pa! pa! pa! wako na njaa.. pa! pa! pa! na ukatupatia pa! pa! pa! kitu.. pa! pa! pa! kidogo pa! pa! pa!..uichi.. pa! pa! pa! mirere.. pa! pa! pa! kama kigogo.. pa! pa! pa!..funga.. pa! pa! pa! fungua pa! pa! pa!.asandi. Nyayo pa! pa! pa!..nyayo pa! pa! pa!..nyayo pa! pa! pa!. Baba anafurahi sana anaingia ndani ya ngari anahepa.

Juu ya hii stori ya baba, mahedimaster na mahedimistress wakaanja kuwa wajaja ndio baba atoe pesa mingi na apitiage hiyo route mara mingi. Ujaja wa kwanja kwa baba ni kufuta headimaster muweke hedimistress ako na figure ya kuua (hapa baba na wakigogoine wanafanana). Kila wakati akiitana, huyo hedimistress anatokesea kama anaswing tuhips na kusmile mbaka anapata muscle pull kwa cheeks. Hapo hapo baba anasema..”mugo na sida gani matam?” madama anajibu..”baba hatuna boohoo (borehole), dormitory sinanyecha na laimbrare haina fitabu”. Halafu anasmailo. Baba anasema…” masida senu yooote nimesigia na nimeona. Naomba madam uingie kwa gari tuende tugataturie ..(clears throat)..mbeere. na mungu awafariki”. Hapo hapo madam anaruka kwa ngari. Mwanake akija jioni kumuchukua anaulisa..”where is mrs Choti today?” deputy anajibu..”ako na baba wanatatua maneno yah ii chule”..Mr Choti anaseka anajua ..mburoti pap!. Kecho yake Mrs Choti anaretwo na bensi tatu hasina namba anawekwo hapo ije ya gate. Maangai akiingia..boohole inasimbwo na wiki moja na dormitory singine sinajengwo na mwesi moja na anajinunulia fujoti faef o fo ya kubeba wathii hiyo route”.

Kama hakuna headmistress, kama irivyokuwa katika chule yetu ingine irikuwa inaitwo “Kihika Kimani Mutukanio Mboys and Girls Day and Boarding Kwanyu Niku Secondary School” whose motto was… “we dictate notes but Jesus teaches”, lasima mungekuwa wajaja. Mr kuria (headmaster) alikuwa ameabia mwalimu wa myusik atengenese kwaya yenye itakuwa ready 365 days a year. Ile kitu interesting ni kuwa hiyo kwaya haikuwa na mboys, ni madem woote wako na hips na matiti inafaliwo sindiria sio ile ndoogo ya kushikiliwo na shafota. Idea ilikuwa wakidance mahips sinapiga right na reft nasyo nyonyo sinarukaruka hadi baba anatoa mbesa. Kuna musisana moja irikuwa inaitwo Christine. Huyu Christine alikuwa kwa kwaya kutoka tuingie form wanu mbaka tukafika form foo. Kira time baba alipitia hapo, alikuwa anasema “wafi ire mutoto yangu?” Christine nakio kinatokesea kama kinaseka kweri kweri. Baba anaulisa..’mwaga huu uko vomu ngafi”…Christine kinajibu. Baba anaseka anasema..”fatia hii vesa hedimaster na muenderee hifyo hifyo”. Ikaenderea hifyo mbaka kira term baba arikuwa anapitia hapo na anaurisa lile lile swari na kumpatia “vesa’ apatie hedimasta.

Maneno irianja kuwa interesting turipofika form foo. Christine alikuwa anakaa kama jua ni urebo. Tena arikuwa ananengua kiuno mbaka sisi wote tunachimamicha. Baba akapitia akaulisa “wafi ire mutoto yangu?” Christine kikatokesea kama kinaseka kweri kweri. Baba akaulisa..’mwaga huu uko vomu ngafi”…Christine kikajibu. “form four baba”..Baba agaseka akasema.. “leo ingia kwa gari. Nitagufatia vesa ya hedimaster ..(clears throat)..mbeere”. Baas tukanjua kwicha. Watu kama sisi wenye turikuwa na matumaini ya kutomboa yeye, tukajua tumeicha. Rakini mutu kama mimi sikufa roho. Infact niliona pesa kwa hiyo deal. Hapo hapo nikaanza kusora ma business plan sya kutengenesa mbesa..lakini kuna moja irikuwa outstanding kwa soote. Kecho yake Christine akaunguchwo na benzi mbiri asubuhi na mapema. Pesa alikuwa na zo kwa paperbag mbiri. Moja ya headmaster na ingine yake. Hata headimaster hakuongea..alipewa paperbag yake akaingia kwa ofichi. Akasema kengere ya farendi ipigwo. Tukaeda kwa faredi akasema tupigie Christine makofi gwasababu amepewa pesa ya kujenga laboratory na laimbrare. Tuakfiga kama ndakika kumi. Akaongesea..”na isitoche..tumepata mirioni ine saidi in cash ya basare”..tukapiga nduru.ni furaha..rakini mimi nirinyamasa.Ngaona pesa mahali ingine. Ngajua huyu mutu ile pesa amepewo na baba, itakurwo ni waalimu na wasasi wake. Ngajua hiyo strategy sitafuata. Kitu moja tu ni ..nikiminya huyu mutu nisemage tumekura simo moja na baba..si nawesa weka exibition watu wapange raini wakiripa kobore kobore wakiona ma~white white kwa mbiruri yangu? Baas ngaanja kutafutana na hiyo simo.

Siku sa kwanja kwanja arikuwa na maringo. Madem wenzake juu ya wifu wakaanja kumuita “Christine wa Mwoi”. Nao mamboys wakaogofa kumuobaga kahehia juu ya kuogopa baba. Akakuwa lonely sana. Ndio asiombwe na mutu, nikaanza rumour ati ukiwekwo bonoko ni baba, anawekaga alamu ati akifungulia mwingine, alamu inaria Kabarnet direct. Watu wakaogofa tena saidi. Mimi na mimi nikaona opportunity. Nikaomba Kristine hadi nalia kama Ruto na Muthaura ngijitetea. Sikumoja jioni hifi, Christine akaniabia twende kwa chopping senta aninunulie supper (githeri na chapo). Ngakimbia dorm ngaambia wasee naeda kushapa Christine wa mwoi. Huyu dem hakuwa anauliswo hata akitoka kwa krass kama bell haija~ring. Alikuwa na status ya donor. So hata tulipofika kwa watchie..christine alisemaga tu..”tuko nay eye” watchie akapiga salute..akasema sawa. Tukaanza kukula pole pole hadi gisa ikaingia kidogo. Akaniabia sasa ako ready nimfanyie vile nimekuwa nikisema nataka kumfanyia. Tukakomboa ka~loging hapo Guthera bar. Tukaanza kupandana. Washa nipande mutu mayau..washa nishape mutu muti mayau. Kwanja ngikumbuka nakuria statehouse…tena sahani moja na baba..ngainiria mbaka mugongo yangu ikaanza kutoa moshi. Kitu saa tatu akaniabia turudi shule sasa. Nilikuwa naulisa nitafika saa ngafi juu hata sikujipangusa. Hata kahandawea sikuvaa ndio hiyo “supu” yetu na baba isikauke.Kufika nikaitana na ngufu..”Nimetoboa wasee!” watu nikapata hata hawakuwa wameeda supper juu ya anxiety ati waone benzi simekimbia juu ya alamu. Waliponiona nikiwa hai..wakasangilia sana.Ngajua business planyangu ime~work.

Business plan yangu ilikuwa hifi: Kunisalimia Pekee: Sh.10., Kunisalimia na kuona kijiko ikiwa na supu ya sahani ya statehouse(mbituti ikiwa na whitish): Sh.15; Kunisalimia, kuona kijiko na kukigusa Sh.20. Full package: yaani Kunisalimia, kuona kijiko,kukigusa na kunusia Sh.25 Executive package yaani: Kunisalimia, kuona kijiko,kukigusa, kunusia na Ku~name mbiruri yangu jina yako for 1 hr : Sh.50. Majameni..nilitengenesa Sh. 6,000 hiyo siku. Next weekend on sato baba akakuja akaeda kuongea na Christine mbeere. On Sunday..ngafandiria Christine..bei ikapanda. Kutoka siku hiyo nikaanza kuitwa Statehouse comptroller. Nilitengenesa pesa huo mwaka hadi nilipomarisa shule..nilijilipia CPA nikamalisa

Shimo tu ndio ilikuwa koda na deep...ukitaka kujua angalia kidole ya huyu mzee hapa

Si muchatha ako juu?


Angaria hii kidole ucompare na niniii

No comments:

Post a Comment