Sikujua Waitherero arikuwa anataka nimuminye gwathababu hata sikuwa nimemuoba. Alisema hifi “unanjua muchatha hakuna njogoo ya shicken moja, na tena mbiruri si ati ni thabuni ikiniminya itaicha” baas ngaanza kusikia sehemu singine sya mwiri wangu sikirefuka na kusukuma handawea mbere. Nikaona haibu sana kwa sababu hata nikijaribu kujigonga tu elbow twa kahacho (tumbo) ndio nithikie ushungu angarau hiyo nyama iashe kurefuka..wapi? kuangaria trouser nayo, irikuwa imeanza kuvutwo juu na hii urefukaji wa nyama yangu. Hapa ndio muchatha anakumbukaga vire musungu arikuwa anaitwo mbagitoni ariambia babangu baada ya kufamiwo ni fuko hata kwa nyuba. Alimwambia..”desparate situations call for desparate measures”. Ngasomoa mbairo kwa shati, ngaweka kwa mufuko ya trouser, ngatomboa kasimo kwa mufuko na ngasika mbiruri kwa singo..ngaiambia. “maNgai mbiruri ukikataa kurara tutaona ni nani ako na ngufu..aitha unihechimu ama nikunyonge” nayo mbiruri ni kama irikuwa inangojea kuguzwo..ikavimba mbaka ngatoa mishipa hapa kwa hedi (forehead). Harafu juu ya kuinyonga, ngasikia ni kama roho sasa irihama kutoka kwa chamber yake ikaanza kupigia hapo kwa mbiruri. Ngajua baas..mbiruri imekuwa adolescent sasa..ama ni teenager wanakatazagwo kufanya kitu wanakataa (rebellion)!
“Kwani Muchatha siku hisi unakuwaga na arragy (allergy) ya kahehia juu kutoka nikuulise unifyeke hujaongea na michipa kwa uso ni kama waya sya curtain”? Waitherero akaniulisa kama ananipapasa papasa kwa mugongo. Hapa sasa ndio maneno iriharibikia juu mbiruri sasa irianza kujifurisha kwa kishwa kama ire nyoka inaitagwo ndarafufua (i think ni puff udder kwa kisungu). “naona hata muti reo ni kama inataka kuchomokea kwa mbelt…” Waitherero akasema kama anapoint njuthe yenyewe. Ngajua hapa hata kama nirikuwa nimeplan kumuabia niko na mareria (yenyewe waitherero sio watu wa kufurahia saana mutu akiminya. Sana sana juu niriskia ati anakuwa na roho kama forkorift ati hata ashawahi minya baba yake akiwa murefi na hiyo ni mugiro (taboo) kwetu).
Ngaseka seka kama wasimu harafu ngamuabia..sawa twende pale pa Wangui tuone kama zile rumu sya kulipa na masaa siko empty. Kwa Wangui ni mahali pengine unawesa kulipa nyumba hata na madakika..kama wewe shoti sako sinatokaga haraka haraka hwaaaaaaaaaa kama kuchesa kayamba…unalipia dakika tano siringi thate yaani ni kama kukomboa kitanda. Harafu ndio usikae zaidi ya yenye umelipia, soja ndie huwa anabaki na funguo inje harafu anaweka saa ya disco inaanza kuhesabu time. Ikibakia dakika moja,.anakupatia warning kwa kugonga murango mara moja na rungu..ndio kama urikuwa umekasia..uwashirie. Time ikiicha hifi..anafungulia wengine murango na kukurucha inje. Infact..huyu mama ame~convert nyumba syake sote..floor mbiri kwa hiyo kasi ya madakika..naskia anatengenesanga elfu saba kira siku. Ukidivide hiso mahesabu, uki assume choti moja inakaa dakika tatu na kukoboa rumu dakika kumi ni mia, inamaanicha ( No of chots per day={24hrs x60 mins} / 3 min per shot) =480 chotis per day. ) kama ingekuwa inawekwo kwa chupa, assuming choti moja ni 5 mls, then kwa siku nyumba zake sinapataga 480x 5mls=2400mls= 2.4 lts. Multiply by 30 days=9.6 lts sya njoti. Kama shoti moja iko na watoto million 3 hifi, hawo ni 480*3million* 30 days=43.2 million kids per month wasted = population ya Kenya. (Teacher’s remarks 10/10)
“Kwani ni wewe Muchatha?...na reo huyu ni nani?” soja akafungua hiyo mukebe ya mudomo kama anapoint waitherero. Ngainamisha masho juu ya haibu. Waitherero hakujari. Hapo nikajua niko mbere kama kwasababu kama ingekuwa dame mwingine mumeru arikuwaga anitwo Kananu, angeanja ku~roll sleeves na kusweat kwa mapua ni hasira na kuniwashiria makofi kama ingine alisapa bouncer wa park~inn mpaka nikajifungia kwa shoo. Nikapatia soja mia akaniambia niongese kumi. Kumuulisa kwanini..akanipatia Cd na kunielesa kuwa wangui amesema ati siku hisi lasima waongese kumi juu wameona biasara yao inahitaji CD so wame~load hiyo cost.
“Kwani ni wewe Muchatha?...na reo huyu ni nani?” soja akafungua hiyo mukebe ya mudomo kama anapoint waitherero. Ngainamisha masho juu ya haibu. Waitherero hakujari. Hapo nikajua niko mbere kama kwasababu kama ingekuwa dame mwingine mumeru arikuwaga anitwo Kananu, angeanja ku~roll sleeves na kusweat kwa mapua ni hasira na kuniwashiria makofi kama ingine alisapa bouncer wa park~inn mpaka nikajifungia kwa shoo. Nikapatia soja mia akaniambia niongese kumi. Kumuulisa kwanini..akanipatia Cd na kunielesa kuwa wangui amesema ati siku hisi lasima waongese kumi juu wameona biasara yao inahitaji CD so wame~load hiyo cost.
Ngasema Wangui ako na hakiri sana. Kama kawaida, soja akatufungia ndani. Waitherero akashomoa kirinda faster faster na akatoa kathuruari akawekerea kwa kamesa kanakuwaga hapo. Hakutoa brauthi (blouse) na akarara kifundi fundi kama amefanua magurundumu. Ngaona kahehia inashine..ngaona tuhuyo vile turikuwa tumerara visuri..ngaona mwatuka wa thende vile urikuwa umeteremuka…haaaa…..hata wa reo sijui niriwesa aje kutoa trouser kama musipi bado imefungwo
Huyu watherero sida yake ni kuwa na simo kuuubwa. Nikararua niakararua mutu wa wenyewe..nikagurumicha maangai ..sikumwaga..nikaweka..soja akagonga. Nikajua ni dakika sya rara sarama na nikichesa nitatoka kama pipe imejaa na nitaharibu ngotha yangu baadaye. Ngaona rasima nikuwe mujaja. Ngakumbuka industrial area (rasa). Ngaskia kahehia ya waithereo ikiambia industrial area yake kama yure masai wa Airtel¦...”kwangu netwak (thithi) hakuna..kwako iko..” Nikuhamaaa.Ngasomoa ngateremuka hapo sini
Ex-klist
ReplyDeletehehehehe!!! Woii, ate haujui mpaka wa reo venye suruali ilitoka ukiwa na mchipi?
ReplyDeleteWelcome to Borgata! | Oyster Hotel Reviews
ReplyDelete› 슬롯 커뮤니티 › Borgata Hotel › › Borgata Hotel 코인갤러리 What makes this a classic Atlantic City resort, with its own casino, melbet live nightly shows and a plethora of restaurants hit bet and nightlife, is the Borgata Hotel Casino & Spa. How? wallstreetbets